| Chama cha Watu Wanaoishi na Kisukari Zanzibar | |
|---|---|
| Utangulizi | |
| Ufupisho | DAZ |
| Eneo Ilipo Ofisi | Mnazi Mmoja Hospital |
| Anuani / P.O. Box | 1902 |
| Kisiwa | Unguja |
| Nambari ya Simu | 0777-486320 |
| Faksi / Fax | |
| Anuani ya Barua Pepe / Email | |
| Mtandao | |
| Wafanyakazi | |
| Jina la Kiongozi Mkuu | Waziri Said Othman |
| Jina la Mtu wa Kuwasiliana Nae | Waziri Said Othman |
| Wadhifa wa Mtu wa Kuwasiliana Nae | Mwenyekiti |
| Idadi ya Wafanyakazi Wanaolipwa | |
| Idadi ya Wafanyakazi Wakujitolea | 17 |
| Usajili na Upatikanaji wa Fedha | |
| Namba ya Usajili | 446 |
| Mwaka Iliosajiliwa | 2006 |
| Uwanachama wa Mitandao | World Diabetes Association |
| Bajeti ya Mwaka | TZS 1,255,656,042.38 |
| Njia Kuu ya Kupata Fedha | Ada ya wanachamaa; Michango ya wahisani |
| Kazi | |
| Walengwa | Watu Wanaoishi na Kisukari; |
| Sekta Unazozifanyia Kazi | Nyenginezo: Kisukari |
| Aina ya Kazi | Kuendesha mafunzo, kuendesha Kliniki, kutoa tiba |
| Eneo la Utendaji | Taifa |
| Mwelekeo | Mjini, Vijijini |
| Dira / Vision Statement | |
a. Kuwapa taarifa wanainchi na jamii kwa jumla juu ya njia na mbinu zilizogunduliwa na zinazogunduliwa katika kukabili ungojwa wa kisukari; b. Kuwapa nafasi watu wanoishi na kisukari kwa kuwashirikisha kikamilifu katika kufanya uchunguzi (Research) juu ya ungonjwa wa kisukari |
|
| Dhamira / Mission Statement | |
Kutoa msaada kwa watu wanaoishi na Kisukari ili kukuza hali zao na zile za jamaa zao |
|
| Malengo Makuu ya ASASI / Kikundi | |
Kuondoa dhana potofu kuhusu kisukari, kwa kuelemisha rika zote za jamii ili watu waulewe ungonjwa wenyewe na pia wagonjwa wajitambue kuwa nai ni sehemu ya jamii katika taifa letu. |
|
| Mafanikio Makuu | |
Apiril, 2006: Kufufua upya chama; 14/11/2006: Matembezi ya hisani ya kuchagia ujenzi wa; Diabetic centre-Mwankwerekwe; 1/12/2006: Kuhudhuria I.D.F Conference-Cape Town; South Africa; February 2007: Kukamilisha ramani ya jingo la Diabetic centre; Built fence around their office; received 9 million and deposited in bank |
|
| Maeneo Yanayofanyiwa Kazi | |