| Jambo Zanzibar | |
|---|---|
| Utangulizi | |
| Ufupisho | |
| Eneo Ilipo Ofisi | Nungwi - Kikwajuni |
| Anuani / P.O. Box | 3603 |
| Kisiwa | Unguja |
| Nambari ya Simu | 0755-013130 |
| Faksi / Fax | |
| Anuani ya Barua Pepe / Email | |
| Mtandao | http://www.jambo-zanzibar.de |
| Wafanyakazi | |
| Jina la Kiongozi Mkuu | Jutta Nedorn |
| Jina la Mtu wa Kuwasiliana Nae | Jutta Nedorn |
| Wadhifa wa Mtu wa Kuwasiliana Nae | Mkurugenzi |
| Idadi ya Wafanyakazi Wanaolipwa | |
| Idadi ya Wafanyakazi Wakujitolea | 10 to 13 |
| Usajili na Upatikanaji wa Fedha | |
| Namba ya Usajili | 492 |
| Mwaka Iliosajiliwa | 2007 |
| Uwanachama wa Mitandao | Jambo Zanzibar Germany |
| Bajeti ya Mwaka | TZS 8,500,000.00 |
| Njia Kuu ya Kupata Fedha | Misaada; ubalozi wa ujerumani; na kampuni ya NOVARTIS - Pharma |
| Kazi | |
| Walengwa | Watoto; Familia; Waathirika wa Ukimwi; Watu wa Vijijini; Wajane; Wanawake; Vijana; Wengineo: Walimu |
| Sekta Unazozifanyia Kazi | Biashara; Mawasiliano na Habari; Ushirika; Elimu: Msingi; Elimu: Mafunzo ya Awali kwa Watoto; Elimu: Sekondari; Mazingira: Taarifa, Elimu na Uelewa; Afya: Kiujumla; Afya: Ukimwi; Afya: Usafi na Malaria; Afya: Wajawazito, Mama na Mtoto; Mafunzo ya Kiutaalam; Maendeleo Vijijini; Utalii; |
| Aina ya Kazi | Misaada ya elimu ushirikiano na utalii na hotyeli; mazingira; kutengeneza mbolea ya mboji; mitindo ya sanaa inayotokana na takataka; mafunzo ya ushonaji; nyenzo za habari ( maktaba) mafunzo ya lugha ya kiingereza kwa ajili ya mawasiliano; |
| Eneo la Utendaji | Mkoa |
| Mwelekeo | Mjini |
| Dira / Vision Statement | |
Tunataka kufanya kazi kwa karibi na watu katika vijiji tunavyvifanyiak kazin a kuwawezesha kufikia hali bora ya kimaisha, tunataka kutafuta namna ya kuwashiriksha katika utalii |
|
| Dhamira / Mission Statement | |
Help for self-development: providing training in skills related to languages, tourism, environment, and health care. |
|
| Malengo Makuu ya ASASI / Kikundi | |
Kuto fursa ya elimu bora hasa kwa wanawake ili kuwawezesha kujitegemea zidi ili waweze kumudu kuendesha maishayaao na familia zao |
|
| Mafanikio Makuu | |
Ujenzi wa uwanja wa kuchezea watoto (2005); kujenga chuo cha Kiislamu kilindi ( 2005); kujenga ofisi ya waalimu (2006); kuendesha semina kuhusu mazingira na afya (malaria) ( 2006); kujenga makataba ya skuli ya sekondari Nungwi (2006 – 2007); kutoa mafunzo ya kutengeneza mbolea ya mboji na mafunmzo kuhusu mazingira (2007);; Building a playground for the nursery school (2005)
|
|
| Maeneo Yanayofanyiwa Kazi | |
Nungwi, Kilindi, Kidoti (school), Fukuchani (school) |
|