| CARE International in Tanzania (Zanzibar Office) | |
|---|---|
| Utangulizi | |
| Ufupisho | CARE |
| Eneo Ilipo Ofisi | Mombasa |
| Anuani / P.O. Box | 87 |
| Kisiwa | Unguja |
| Nambari ya Simu | 2234093 |
| Faksi / Fax | 2235991 |
| Anuani ya Barua Pepe / Email | ; ; |
| Mtandao | http://www.care.or.tz |
| Wafanyakazi | |
| Jina la Kiongozi Mkuu | Zanzibar Area Representative |
| Jina la Mtu wa Kuwasiliana Nae | Ismail Salim Mgeni |
| Wadhifa wa Mtu wa Kuwasiliana Nae | Afisa Mradi |
| Idadi ya Wafanyakazi Wanaolipwa | 25 |
| Idadi ya Wafanyakazi Wakujitolea | |
| Usajili na Upatikanaji wa Fedha | |
| Namba ya Usajili | 144 |
| Mwaka Iliosajiliwa | 2000 |
| Uwanachama wa Mitandao | |
| Bajeti ya Mwaka | USD 500,000.00 |
| Njia Kuu ya Kupata Fedha | UNDP; McKnight Foundation; Ford Foundation; MacArthur Foundation; CARE Austria; Government of Austria; Norad (Norwegian Agency for International Development) |
| Kazi | |
| Walengwa | Watoto; Familia; Wakulima; Wavuvi; Watu wa Vijijini; Wanawake; Vijana; |
| Sekta Unazozifanyia Kazi | Utetezi; Kilimo na Mifugo; Ushirika; Elimu: Msingi; Elimu: Mafunzo ya Awali kwa Watoto; Elimu: Utetezi wa Sera; Elimu: Sekondari; Mazingira: Utetezi wa Sera; Mazingira: Utunzaji wa Mazingira; Mazingira: Kiujumla; Mazingira: Taarifa, Elimu na Uelewa; Ushawishi; Mikopo Midogo Midogo; Biashara Ndogo Ndogo; Uangalizi wa Mali Asili; Mafunzo ya Kiutaalam; Maendeleo Vijijini; Utalii; Mafunzo ya Ufundi; |
| Aina ya Kazi | Uhifadhi wa mali asili na maendeleo vijijini |
| Eneo la Utendaji | Kimataifa |
| Mwelekeo | Mjini, Vijijini |
| Dira / Vision Statement | |
Tunataka dunia yeye matumaini, uvumilivu na haki za kijamii ambayo haina umasikini na ambamo watu wanaishi kwa usalama na hehima.CARE international itakuwa ni chombo cha dunia na mashirika katika uteuzi katikavyama vya dunia vilivyojizatiti kuondoa umasikini. Kutambulika duniani kote kwa msimamo wetu usioyumba wa kupigamia heshima na utu wa mwanadamu |
|
| Dhamira / Mission Statement | |
Kuhudumia watu na familia masikini katika jamii na dunia, kuunga nguvu katika anuai, nyenzo na uzoefu, tunakuza ufbinifu na tunatetea uwajibikaji duniani, tunawezesha mabadiliko ya kudumu ya kujengea uwezo kutusaidia kutoa fursa za kiuchumi, kupuleka huduma za dharura, kushawishi maamuzi ya kisera na kuondoa umasikini |
|
| Malengo Makuu ya ASASI / Kikundi | |
Umasikini mkubwa katika maeneo CARE infanya kazi utapunguzwa na haki za kijamii zitakuzwa. |
|
| Mafanikio Makuu | |
Kuendeleza hifadhi ya Taifa ya Jozani na Chwaka, kuendeleza eneo la uhifadhi la kisiwa cha misali, kuendeleza mpango wa usimamizi na uhifadhi wa msitu wa ngezi na utalii, ujenzi wa kituo cha kuendeleza msitu wa ngezi. Kuanzisha na kusaidia vikundu 315 vya kuweka na kukopa; kusaidia uanzishwajai na uendelezaji wa NGOs nchini; kama viliJECA, MICA NGERANECO na PESACA; |
|
| Maeneo Yanayofanyiwa Kazi | |
Tanzania Bara: Morogoro; Dar es Salaam; Shinyanga; Kigoma; Mwanza; Zanzibar: nghuba ya Jozani na Chwaka, Wilaya za kusini na kati, kisiwa cha misali, eneo langezi /mawimbi, wilaya za Chakachake na Mkoan |
|