Jumuiya ya Elimu, Mafunzo, Utafiti na Ushauri, Zanzibar
Utangulizi
Ufupisho JEMUUZA
Eneo Ilipo Ofisi Chasasa wete-pemba
Anuani / P.O. Box 91 Wete
Kisiwa Pemba
Nambari ya Simu 0777-496193
Faksi / Fax 242-454458
Anuani ya Barua Pepe / Email
Mtandao
Wafanyakazi
Jina la Kiongozi Mkuu Haji Kh. Haji
Jina la Mtu wa Kuwasiliana Nae Thuwein Issa Thuwein
Wadhifa wa Mtu wa Kuwasiliana Nae Makamo Mwenyekiti
Idadi ya Wafanyakazi Wanaolipwa
Idadi ya Wafanyakazi Wakujitolea 6
Usajili na Upatikanaji wa Fedha
Namba ya Usajili 62
Mwaka Iliosajiliwa 1998
Uwanachama wa Mitandao
Bajeti ya Mwaka TZS 24,000,000.00
Njia Kuu ya Kupata Fedha Michango ya wanachama ya kila mwezi; Misaada kutoka kwa wafadhili.
Kazi
Walengwa Wakulima; Wavuvi;
Sekta Unazozifanyia Kazi Utetezi; Ushirika; Mikopo Midogo Midogo; Mafunzo ya Kiutaalam;
Aina ya Kazi

Kutao mafunzo ya kitaalam kwa vikundi vya kiuchumi(ushirika), haki za binadamu, elimu ya uraiya.

Eneo la Utendaji Taifa
Mwelekeo Mjini, Vijijini
Dira / Vision Statement

Mbinu bora za uendeshaji miradi

Dhamira / Mission Statement

Kuendesha shughuli za kiuchumi za kijamii kitaalamu

Malengo Makuu ya ASASI / Kikundi

1. Kueneza elimu kwa walengwa kwa njia ya semina, kongamano, elimu za mbali; kuendesha utafiti juu ya mahitaji ya elimu; kutayarisha makala za kufundisha; kutoa mafunzo kwa wanafunzi na kutoa mikopo midogomidogo

Mafanikio Makuu

Agosti/sept2005-kuendesha elimu ya uraiya-pemba; Dec.2005-mafunzo kwa wafanya biashara ndogondogo; July/agust2006-mafunzo ya uongozi kwa wanawake wapenda mwani-pemba; Dis.2006-warsha juu ya uanzishaji akiba na mikopo-walimu utaani;

Maeneo Yanayofanyiwa Kazi


Saidia Kusahihisha Au Kukamilisha Takwimu | Nyuma