| Bububu Kigamboni Development Organization | |
|---|---|
| Utangulizi | |
| Ufupisho | BUKIDO |
| Eneo Ilipo Ofisi | Bububu Kigamboni Zanzibar |
| Anuani / P.O. Box | 1927 |
| Kisiwa | Unguja |
| Nambari ya Simu | 0777 463642; 0777 876690 |
| Faksi / Fax | |
| Anuani ya Barua Pepe / Email | |
| Mtandao | |
| Wafanyakazi | |
| Jina la Kiongozi Mkuu | Mohamed Said Ali |
| Jina la Mtu wa Kuwasiliana Nae | Bi Salma Salim Omar (Katibu) |
| Wadhifa wa Mtu wa Kuwasiliana Nae | Katibu |
| Idadi ya Wafanyakazi Wanaolipwa | 10 |
| Idadi ya Wafanyakazi Wakujitolea | 12 |
| Usajili na Upatikanaji wa Fedha | |
| Namba ya Usajili | 438 |
| Mwaka Iliosajiliwa | 2006 |
| Uwanachama wa Mitandao | ANGOZA |
| Bajeti ya Mwaka | TZS 18,000,000.00 |
| Njia Kuu ya Kupata Fedha | Michango, ada, ufadhili |
| Kazi | |
| Walengwa | Jamii Yote; |
| Sekta Unazozifanyia Kazi | Utetezi; Usuluhishi; Udumishaji Mila; Elimu: Msingi; Elimu: Mafunzo ya Awali kwa Watoto; Elimu: Utetezi wa Sera; Elimu: Sekondari; Mazingira: Utetezi wa Sera; Mazingira: Utunzaji wa Mazingira; Mazingira: Kiujumla; Afya: Kiujumla; Afya: Ukimwi; Afya: Usafi na Malaria; Afya: Wajawazito, Mama na Mtoto; Afya: Afya ya Uzazi; Haki za Binadamu; Ushawishi; Mikopo Midogo Midogo; Biashara Ndogo Ndogo; Uangalizi wa Mali Asili; Mafunzo ya Kiutaalam; Dini; Maendeleo Vijijini; Sayansi na Tekinolojia; Maswala ya Dawa za Kulevya; Mafunzo ya Ufundi; |
| Aina ya Kazi | Kuna vikundi vidogo vidogo vinavyojishughulisha na kazi za ujasiri amali kama kazi za spice, na kupakasa, ushoni, mapishi n.k |
| Eneo la Utendaji | Kijiji |
| Mwelekeo | Vijijini |
| Dira / Vision Statement | |
Kuleta mabadiliko/maendeleo katika kijiji na jamii kwa ujumla; Kuleta/kutengeneza ajira kwa jamii |
|
| Dhamira / Mission Statement | |
Kujenga mshikamano katika kijiji ilimkuweza kujadili kutenda na kuweza kutatua matatizo yanayokikabili kijiji e.g umaskini, ajira, elimu n.k |
|
| Malengo Makuu ya ASASI / Kikundi | |
Kuleta mabadiliko/maendeleo katika kijiji na jamii kwa ujumla; Kutafuta mafunzo/ujuzi wa kujenga uwezo juu ya kuongoza (uongozi) kwa ngo (bukido); Kupata mafunzo ya ujasirimali kw wanakikundi ili waweze kujiajiri na kujitegemea. |
|
| Mafanikio Makuu | |
2/08/2006 tumepata usajili no. 438 kupitia kwa msajili mkuu wa serikali; Feb 2007 tumeshiriki katika ushajihishaji kupika dawa za malaria; April 2007 tumeshiriki maonyesho baraza la wawakilishi; April 2007 tumekubaliwa kuwa wanachama wa ngoza; July 2007 tumeshiriki semina ya ukimwi, kuwakilisha bububu yote; Feb 2007 tulishiriki katika upigaji dawa za mbu wa malaria katika shehia 19 katika wilaya ya magaribi unguja; Shehia za myomi, sharifumsa, kibweni, bububu, mfenesini, mwakaje, mwanyanya n.k; Community mobilization |
|
| Maeneo Yanayofanyiwa Kazi | |