| Association of Engineers - Zanzibar | |
|---|---|
| Utangulizi | |
| Ufupisho | AEZ |
| Eneo Ilipo Ofisi | |
| Anuani / P.O. Box | 266 |
| Kisiwa | Unguja |
| Nambari ya Simu | 0777-412032/2231674 |
| Faksi / Fax | |
| Anuani ya Barua Pepe / Email | |
| Mtandao | |
| Wafanyakazi | |
| Jina la Kiongozi Mkuu | Kissasi/R.E |
| Jina la Mtu wa Kuwasiliana Nae | Zidi/M.S |
| Wadhifa wa Mtu wa Kuwasiliana Nae | Katibu |
| Idadi ya Wafanyakazi Wanaolipwa | |
| Idadi ya Wafanyakazi Wakujitolea | 1 |
| Usajili na Upatikanaji wa Fedha | |
| Namba ya Usajili | To be issued with registration |
| Mwaka Iliosajiliwa | 1986 |
| Uwanachama wa Mitandao | |
| Bajeti ya Mwaka | TZS 50,000,000.00 |
| Njia Kuu ya Kupata Fedha | 1. Michango ya wahisani; ada za wanachama |
| Kazi | |
| Walengwa | Wengineo: Wataalam |
| Sekta Unazozifanyia Kazi | Mafunzo ya Kiutaalam; Sayansi na Tekinolojia; Mafunzo ya Ufundi; |
| Aina ya Kazi | Ushauri wa watu binafsi, taasisi ya watu binafsi, serikali n.k |
| Eneo la Utendaji | Taifa |
| Mwelekeo | Mjini, Vijijini |
| Dira / Vision Statement | |
Kuwa na wasanii wa kazi wa kazi za mikono walio mahiri na uwezo ambao watafanya kazi zao kwa viwango vinavyokubalika |
|
| Dhamira / Mission Statement | |
Kuhakikisha ukuwaji ya elimu za uhandisi, mawasiliano ya komputa na mambo yote yanayohusiana nayo, kisiwani pote |
|
| Malengo Makuu ya ASASI / Kikundi | |
Kushajiisha matumizi ya; Ujuzi wa mtu mmoja mmoja nchini, kwa maeneo tofauti katika fani ya ujenzi/ufundi wa miundombinu pamoja na mitambo; kuwaleta pamoja wahindisi wa nyanja mbalimbali visiwani pamoja na jumuia kuwa kama ni pahala la kubadilishana mawazo, elimu na uzoefu katika kazi zao za kila siku. |
|
| Mafanikio Makuu | |
1994 semina juu ya uhandisi ilifanyika ectrotanal; 1994 serikali ilitoa changamoto kwa jumuiya juu ya uondoshaji wa maji ya mvua eneo la michezo la mnazi mmoja .Nusu ya kazi imefanyika kimafanikio; |
|
| Maeneo Yanayofanyiwa Kazi | |
Yafuataya ni maeneo yaliyo fanyiwa kazi na asasi ya jumuiya ya kibokwa; Kama ifuatavyo; Bonde la kibokwa; Bonde la mbuzini; Bonde la machekechuni; bonde la mto wa maji; bonde la mkokotoni; bonde la banda maji; bonde la kichanga; bonde la miwani; Kibokwa irrigation; Tunafanyia kazi hapa unguja |
|