| Jumuiya Maendeleo ya Wadi ya Malindi - Development for Malindi Ward | |
|---|---|
| Utangulizi | |
| Ufupisho | DEMAWA |
| Eneo Ilipo Ofisi | Shehia Mchangani Mjini |
| Anuani / P.O. Box | 502 |
| Kisiwa | Unguja |
| Nambari ya Simu | 0713-535278 |
| Faksi / Fax | |
| Anuani ya Barua Pepe / Email | |
| Mtandao | |
| Wafanyakazi | |
| Jina la Kiongozi Mkuu | Ali Awadh Abeid |
| Jina la Mtu wa Kuwasiliana Nae | Saleh Mwanze Mravilli |
| Wadhifa wa Mtu wa Kuwasiliana Nae | Katibu |
| Idadi ya Wafanyakazi Wanaolipwa | |
| Idadi ya Wafanyakazi Wakujitolea | 12 |
| Usajili na Upatikanaji wa Fedha | |
| Namba ya Usajili | 185 |
| Mwaka Iliosajiliwa | 2002 |
| Uwanachama wa Mitandao | |
| Bajeti ya Mwaka | |
| Njia Kuu ya Kupata Fedha | Wafadhili na michango wa wanachama wenyewe |
| Kazi | |
| Walengwa | Watoto; Wakulima; Wavuvi; Waathirika wa Ukimwi; Wajane; Wanawake; Vijana; |
| Sekta Unazozifanyia Kazi | Kilimo na Mifugo; Afya: Kiujumla; Afya: Ukimwi; Afya: Usafi na Malaria; Mikopo Midogo Midogo; Biashara Ndogo Ndogo; Maswala ya Dawa za Kulevya; Mafunzo ya Ufundi; |
| Aina ya Kazi | |
| Eneo la Utendaji | Mkoa |
| Mwelekeo | Mjini |
| Dira / Vision Statement | |
Kuondosha madawa ya Kulevya, kusafisha maeneo yaliyo zunguka shehia zetu (usafi wa mazingira) kusaidiana kutokomeza janga la ukimwi |
|
| Dhamira / Mission Statement | |
Kuleta maendeleo kayika wadi yetu ya mchangani mjini |
|
| Malengo Makuu ya ASASI / Kikundi | |
Revive the past situation of having small latrines, street signs to be kept, cleaning of sewages |
|
| Mafanikio Makuu | |
Kurudisha hali ya zamani kuwa na vyoo vya haja ndogo.alama za njia na mitaa ziwepo njiani. Kusafisha mitaro ya maji taka; |
|
| Maeneo Yanayofanyiwa Kazi | |