Anti-Malaria Society, Zanzibar
Utangulizi
Ufupisho AMS
Eneo Ilipo Ofisi Nyerere, Magomeni
Anuani / P.O. Box 2640
Kisiwa Unguja
Nambari ya Simu +255-777-491150
Faksi / Fax +255-242-235808
Anuani ya Barua Pepe / Email ;
Mtandao
Wafanyakazi
Jina la Kiongozi Mkuu Seif Maalim Seif
Jina la Mtu wa Kuwasiliana Nae Seif Maalim Seif
Wadhifa wa Mtu wa Kuwasiliana Nae Mwenyekiti Mtendaji
Idadi ya Wafanyakazi Wanaolipwa
Idadi ya Wafanyakazi Wakujitolea 24
Usajili na Upatikanaji wa Fedha
Namba ya Usajili 327
Mwaka Iliosajiliwa 2004
Uwanachama wa Mitandao ANGOZA
Bajeti ya Mwaka TZS 18,000,000.00
Njia Kuu ya Kupata Fedha Kupitia michango ya wafadhili na michango ya wanachama (ada) .
Kazi
Walengwa Watoto; Wazee; Familia; Wakulima; Wavuvi; Watoto Wachanga; Yatima; Walemavu; Waathirika wa Ukimwi; Watu wa Vijijini; Wajane; Wanawake; Vijana;
Sekta Unazozifanyia Kazi Utetezi; Mawasiliano na Habari; Ushirika; Mazingira: Utetezi wa Sera; Mazingira: Utunzaji wa Mazingira; Mazingira: Kiujumla; Mazingira: Taarifa, Elimu na Uelewa; Afya: Ukimwi; Afya: Usafi na Malaria; Afya: Wajawazito, Mama na Mtoto; Afya: Afya ya Uzazi; Ushawishi; Mikopo Midogo Midogo; Uangalizi wa Mali Asili; Maswala ya Dawa za Kulevya;
Aina ya Kazi

Eneo la Utendaji Kisiwa
Mwelekeo Mjini, Vijijini
Dira / Vision Statement

Jamii isiyokuwa na malaria

Dhamira / Mission Statement

Kuona tatizo la malaria linatoweka hapa Zanzibar sambamba na jamii kufahamu

Malengo Makuu ya ASASI / Kikundi

Kushiriki kuota elimu na kuijilisha jamii juu ya elimu kuhusu ungonjwa wa Malaria. Pia suala la mazingira ikiwemo kuyatunza, kuyahifadhi na kuyaendeleza linefahamika vyema na jamii huskia ya wazanzibari wote.

Mafanikio Makuu

2003 : wanainchi kukubali na kuamua kuamisha AMS; 2004: kupata usajili na mafumo ya msingi kuhusu malaria; 2005: Kuanza kutoa taaluma kwa wanainchi maneo ya mjini; 2004-5: jumuiya koungeza maaneo ya kuf;

Maeneo Yanayofanyiwa Kazi


Saidia Kusahihisha Au Kukamilisha Takwimu | Nyuma