| Jumuiya Maendeleo Shehia ya Paje | |
|---|---|
| Utangulizi | |
| Ufupisho | JUMASPA |
| Eneo Ilipo Ofisi | Paje, karibu na kituo cha Polisi |
| Anuani / P.O. Box | 1311 |
| Kisiwa | Unguja |
| Nambari ya Simu | 0777-857981 |
| Faksi / Fax | |
| Anuani ya Barua Pepe / Email | |
| Mtandao | |
| Wafanyakazi | |
| Jina la Kiongozi Mkuu | Abdalla Mwendo Haji |
| Jina la Mtu wa Kuwasiliana Nae | Mohamed R. Mzale |
| Wadhifa wa Mtu wa Kuwasiliana Nae | Katibu |
| Idadi ya Wafanyakazi Wanaolipwa | 1 |
| Idadi ya Wafanyakazi Wakujitolea | 25 |
| Usajili na Upatikanaji wa Fedha | |
| Namba ya Usajili | 101 |
| Mwaka Iliosajiliwa | 1999 |
| Uwanachama wa Mitandao | MWAVULI |
| Bajeti ya Mwaka | TZS 6,063,000.00 |
| Njia Kuu ya Kupata Fedha | Michango ya wanachama; wafadhili |
| Kazi | |
| Walengwa | Jamii Yote; Watoto; Wazee; Familia; Wakulima; Wavuvi; Watoto Wachanga; Yatima; Walemavu; Waathirika wa Ukimwi; Watu wa Vijijini; Wajane; Wanawake; Vijana; |
| Sekta Unazozifanyia Kazi | Usuluhishi; Udumishaji Mila; Elimu: Msingi; Elimu: Mafunzo ya Awali kwa Watoto; Elimu: Utetezi wa Sera; Elimu: Sekondari; Mazingira: Utetezi wa Sera; Mazingira: Utunzaji wa Mazingira; Mazingira: Kiujumla; Mazingira: Taarifa, Elimu na Uelewa; Afya: Kiujumla; Afya: Ukimwi; Afya: Usafi na Malaria; Afya: Wajawazito, Mama na Mtoto; Afya: Afya ya Uzazi; Ushawishi; Uangalizi wa Mali Asili; Mafunzo ya Kiutaalam; Maendeleo Vijijini; Maswala ya Dawa za Kulevya; |
| Aina ya Kazi | Mafunzo kwa kamati ya skuli; Mafunzo kwa ajira ya watoto |
| Eneo la Utendaji | Shehia |
| Mwelekeo | Vijijini |
| Dira / Vision Statement | |
Kuleta maendeleo endelevu kwa jamii ya watu Paje. |
|
| Dhamira / Mission Statement | |
Kuelimisha jamii juu ya kutumia rasilimali ziliopo katika kuboresha sekata ya elimu afya, maliasili. Mapambano dhidi ya Ukimwi na haki ya Mama na Mtoto |
|
| Malengo Makuu ya ASASI / Kikundi | |
Kupunguza umaskini wa kipato na usikuwa wa kipato |
|
| Mafanikio Makuu | |
24/03/2003: Kujenga uwezo miogoni mwa JUMSPA; 20-21/03.2004: Kujenga uwezo Kamati ya Skuli; 30-31/07/2005: Kutoa mafunzo ya ajira ya watoto hivyo kuarejesha shule na wengine kupata mafunzo ya ufundi wa kushona na kutengeneza gari; |
|
| Maeneo Yanayofanyiwa Kazi | |