| Jumuiya kwa Ajili ya Watu Wenye Ulemavu wa Akili Zanzibar | |
|---|---|
| Utangulizi | |
| Ufupisho | ZAPDD |
| Eneo Ilipo Ofisi | Migombani (Ngazi Mia) |
| Anuani / P.O. Box | 4539 |
| Kisiwa | Unguja |
| Nambari ya Simu | +255(024) 2237527 |
| Faksi / Fax | +255(024) 2237527 |
| Anuani ya Barua Pepe / Email | |
| Mtandao | |
| Wafanyakazi | |
| Jina la Kiongozi Mkuu | Obeid Fabian Hofi |
| Jina la Mtu wa Kuwasiliana Nae | Juma Salim Ali; Fauzia Mwita Haji |
| Wadhifa wa Mtu wa Kuwasiliana Nae | Naibu Katibu; Katibu |
| Idadi ya Wafanyakazi Wanaolipwa | 11 |
| Idadi ya Wafanyakazi Wakujitolea | |
| Usajili na Upatikanaji wa Fedha | |
| Namba ya Usajili | 87 |
| Mwaka Iliosajiliwa | 1999 |
| Uwanachama wa Mitandao | ANGOZA; ANDD (Advocacy Netowork for Developmental Disabilities) |
| Bajeti ya Mwaka | TZS 99,490,123.00 |
| Njia Kuu ya Kupata Fedha | 1. Ufadhili kutoka kwa washirika wa maendeleo; 2. Michango ya wanachama |
| Kazi | |
| Walengwa | Walemavu; |
| Sekta Unazozifanyia Kazi | Utetezi; Elimu: Utetezi wa Sera; Ushawishi; |
| Aina ya Kazi | 1. Ushawishi; 2. Kujenga uwezo kwa walemavu na wazazi na wanachama; 3. Kujenga uelewa kwa jamii; 4. Ushrikiano na taasis nyingnie (Network) |
| Eneo la Utendaji | Taifa |
| Mwelekeo | Mjini, Vijijini |
| Dira / Vision Statement | |
Ni kujenga jamii kwa ajili ya watu wote wenye ulemavu wa akili |
|
| Dhamira / Mission Statement | |
Jumuiya imejidhadhiti kushawishi na kutetea, kuwajengea uwezo walengwa, wazazi na wanachama na kujenga mazingira bora yatakayohakikisha ujumuishaji katika nyanja za kimaisha |
|
| Malengo Makuu ya ASASI / Kikundi | |
1. kushawishi na kutetea haki za watu wenye ulemavu wa akili zikiwemo elimu, afya, ulindwaji n.k; 2. kutetea haki za sera za ujumuishwaji; 3. kuhamasisha na kujenga uelewa juu ya mambo yanayohusu ulemavu wa akili; 4. ushrikiano na taasis za ndani na nje ya nchi ili kubadilishana usoefu na taarifa kuhusu ulemavu wa akili. |
|
| Mafanikio Makuu | |
Jamii kwa kiasi Fulani imeelewa suala zima la ulemavu wa akili; Jumuiya imaeleweka ndani na nje ya nchi; Haki ya elimu kwa watoto wenye ulemavu imeanza kupatikana; Sera ya elimu ya Zanzibar imekuwa ni jumuishi (inclusive Policy); |
|
| Maeneo Yanayofanyiwa Kazi | |