AidNet Zanzibar
Utangulizi
Ufupisho AidNet
Eneo Ilipo Ofisi Shangani
Anuani / P.O. Box 4266
Kisiwa Unguja
Nambari ya Simu 0754-378026
Faksi / Fax
Anuani ya Barua Pepe / Email ;
Mtandao http://www.aidnet.8m.net
Wafanyakazi
Jina la Kiongozi Mkuu Amir Hazma Amir
Jina la Mtu wa Kuwasiliana Nae Amir Hazma Amir
Wadhifa wa Mtu wa Kuwasiliana Nae Mkurugenzi wa Maendeleo
Idadi ya Wafanyakazi Wanaolipwa 1
Idadi ya Wafanyakazi Wakujitolea 3
Usajili na Upatikanaji wa Fedha
Namba ya Usajili LO1382001
Mwaka Iliosajiliwa 2001
Uwanachama wa Mitandao --
Bajeti ya Mwaka TZS 7,525,500.00
Njia Kuu ya Kupata Fedha 1. Michango ya wana aidnet; Michango ya wahisani
Kazi
Walengwa Watoto; Wazee; Familia; Wavuvi; Walemavu; Waathirika wa Ukimwi; Watu wa Vijijini; Wajane; Wanawake; Vijana;
Sekta Unazozifanyia Kazi Utetezi; Udumishaji Mila; Mazingira: Utetezi wa Sera; Afya: Ukimwi; Haki za Binadamu; Ushawishi; Maendeleo Vijijini; Maswala ya Dawa za Kulevya;
Aina ya Kazi

1. Utetezi wa masusala ya unyanyapaa; Kutoa elimu ya ukimwi kwa kutumia filamu; Kutoa mafunzo mbalimbali ya maendeleo ya jamii; Kusimamia

Eneo la Utendaji Taifa
Mwelekeo Mjini, Vijijini
Dira / Vision Statement

Kuwa najamii yenye uelewa na uwezo wa kufanya matumizi sahihi na yenye tija ya rasilimali zilizopo ili kufikia maendeleo halisi/endelevu

Dhamira / Mission Statement

Kuwa ni sehemu ya mchakato wa kuifanya jamii maskini kuweza kushiriki kikamilifu katika harakati za kujiletea maendel endelevu na kuifanya dunia kuwa sehemu mzuri ya kuishi

Malengo Makuu ya ASASI / Kikundi

Kuziimarisha jamii kwa kuzijengea uwezo kwa njia ya kuwapa mafunzo na ujuzi wa namna ya kuzitumia rasilimali kwa aili ya maendeleo ya sasa na ya vizazi vijavyo

Mafanikio Makuu

2002 kutoa mafunzo ya ujuzi kwa wasanii wa kazi za mikono; 2004/05 kutoa mafunzo ya elimu ya maendeleo endelevu kwa asasi za vijana; 2005/06 kuwapa elimu ya maendeleo endelevu kwa walimu na wanafunzi; 2007---kutoa elimu ya ukimwi kwa walimu na wanafunzi wa skuli za sekondari za unguja;

Maeneo Yanayofanyiwa Kazi

Maeneo yaliyo fanyiwwa kazi na aidnet kwa miaka miwili iliyo pita; Wilaya ya mjini; Wilaya ya magharibi; Wilaya ya kusini; Wilaya ya kati; Wilaya ya kaskazini “A”; Wilaya ya kaskazini “B”; Wilaya ya chakechake; Wilaya ya wete;


Saidia Kusahihisha Au Kukamilisha Takwimu | Nyuma