| Association of NGOs in Zanzibar | |
|---|---|
| Utangulizi | |
| Ufupisho | ANGOZA |
| Eneo Ilipo Ofisi | Mwanakwerekwe |
| Anuani / P.O. Box | 4686 zanzibar |
| Kisiwa | Unguja |
| Nambari ya Simu | 255 24 223 9325 |
| Faksi / Fax | - |
| Anuani ya Barua Pepe / Email | |
| Mtandao | http://www.angoza.org |
| Wafanyakazi | |
| Jina la Kiongozi Mkuu | Chairperson |
| Jina la Mtu wa Kuwasiliana Nae | Maryam S.Abubakar |
| Wadhifa wa Mtu wa Kuwasiliana Nae | Katibu Mkuu |
| Idadi ya Wafanyakazi Wanaolipwa | 4 |
| Idadi ya Wafanyakazi Wakujitolea | 1 |
| Usajili na Upatikanaji wa Fedha | |
| Namba ya Usajili | C.7 |
| Mwaka Iliosajiliwa | 24 |
| Uwanachama wa Mitandao | EISA, EACSO, TEMCO |
| Bajeti ya Mwaka | 112,960,000.00 TSHS |
| Njia Kuu ya Kupata Fedha | Foundation for CSOs in Tz, UNDP, Pact Tz. IUP of Denmark, |
| Kazi | |
| Walengwa | Watoto; Wazee; Wakulima; Wavuvi; Wafugaji; Yatima; Watu Wanaoishi na Kisukari; Walemavu; Waathirika wa Ukimwi; Watu wa Vijijini; Wajane; Wanawake; Vijana; Wengineo: Hakiza wanyama, Mazingira |
| Sekta Unazozifanyia Kazi | Utetezi; Kilimo na Mifugo; Mawasiliano na Habari; Elimu: Msingi; Elimu: Mafunzo ya Awali kwa Watoto; Elimu: Utetezi wa Sera; Elimu: Sekondari; Mazingira; Mazingira: Utetezi wa Sera; Mazingira: Utunzaji wa Mazingira; Mazingira: Taarifa, Elimu na Uelewa; Afya: Kiujumla; Afya: Ukimwi; Afya: Usafi na Malaria; Haki za Binadamu; Ushawishi; Mikopo Midogo Midogo; Biashara Ndogo Ndogo; Uangalizi wa Mali Asili; Kupunguza Umaskini; Maendeleo Vijijini; Maswala ya Dawa za Kulevya; Utalii; |
| Aina ya Kazi | Kujenga uwezo, kutumia pamoja rasilimali, na kutoa ushauri |
| Eneo la Utendaji | Taifa |
| Mwelekeo | Mjini, Vijijini |
| Dira / Vision Statement | |
Jamii isiyo na umaskini uliokithiri, rushwa ukiukwaji wa haki za binaadamu |
|
| Dhamira / Mission Statement | |
Kuchanbgia katika kupunguza umasikin uliokithiri, kupambana rushwa, na kukuza haki za binaadamu, na kuzijengea uwezo NGO wnachama kutumia pamoja rasilimali |
|
| Malengo Makuu ya ASASI / Kikundi | |
1.Kuratibu NGOs za Zanzibar.
|
|
| Mafanikio Makuu | |
1.ANGOZA imeshiriki katika kutengeneza mpango wa kupunguza umasikini Zanzibar (MKUZA)
|
|
| Maeneo Yanayofanyiwa Kazi | |
ANGOZA inajenga uwezo Jumuiya za kiraia katika Utetezi, Jinsia, mazingira na Haki za binaadamu |
|