| Ivo De Carneri Foundation - Zanzibar Branch | |
|---|---|
| Utangulizi | |
| Ufupisho | IDCF-ZB |
| Eneo Ilipo Ofisi | Malindi, House 624 |
| Anuani / P.O. Box | 3773 |
| Kisiwa | Unguja |
| Nambari ya Simu | 024-2452550 |
| Faksi / Fax | 024-2452550 |
| Anuani ya Barua Pepe / Email | |
| Mtandao | http://www.fondazionedecarneri.it |
| Wafanyakazi | |
| Jina la Kiongozi Mkuu | Yahya M. S. Al- Sawafy |
| Jina la Mtu wa Kuwasiliana Nae | Yahya M. S. Al- Sawafy |
| Wadhifa wa Mtu wa Kuwasiliana Nae | Mwakilishi Mkaazi |
| Idadi ya Wafanyakazi Wanaolipwa | 5 |
| Idadi ya Wafanyakazi Wakujitolea | 5 |
| Usajili na Upatikanaji wa Fedha | |
| Namba ya Usajili | 109 |
| Mwaka Iliosajiliwa | 2000 |
| Uwanachama wa Mitandao | |
| Bajeti ya Mwaka | USD 53,355.00 |
| Njia Kuu ya Kupata Fedha | Michango kutoka makao makuu Milan Italia; kutoka jumuiya za uhisani; mawakala wa ufadhili, taasisi za tafiti, vyuo vikuu |
| Kazi | |
| Walengwa | Jamii Yote; Watoto; Wakulima; Watu wa Vijijini; Wanawake; |
| Sekta Unazozifanyia Kazi | Kilimo na Mifugo; Elimu: Msingi; Elimu: Sekondari; Afya: Kiujumla; Afya: Ukimwi; Afya: Wajawazito, Mama na Mtoto; Uangalizi wa Mali Asili; Mafunzo ya Kiutaalam; Maendeleo Vijijini; |
| Aina ya Kazi | Kuendesha zahanati ya gombani kwa kutoa ushauri na maribabu bure; ujenzi na uendeshaji wa afya kwa umma; mafunzo ya ultra sound kwa madaktari (2006-2010) usimamizi wa maji safi na miundo mbinu. |
| Eneo la Utendaji | Taifa |
| Mwelekeo | Mjini, Vijijini |
| Dira / Vision Statement | |
Kuimarisha maendeleo ya afya kwa Wazanzibar kupitia hatua za afya kwa jamii kulingana na vipao mbele kwa kwekeza katika mindo mbinu ya afya na elimu pamoja na nguvu ngazi; |
|
| Dhamira / Mission Statement | |
Kukuza mikakati ya udhibiti wan chi za joto zinazoendelea na kusaidia utafiti |
|
| Malengo Makuu ya ASASI / Kikundi | |
Uendelezaji wa mikakati ya udhibiti wa maradhi yanayosababishwa na vijijdudu katika nchi zinazoendelea; kukuza utafiti na kusaidia shughuli za mafunzo ya namna ya kudhibiti na kutambua maradhi yanayosababishwa na vimelea katika nchi zinazoendelea na zilizoendeleakuendeleza n akusaidia huduma za afya zanzubar kwamashirikiano na wizara ya afya na utibabu; kukuza na kusaidia maendeleo ya kielemu Zanzibar kwa kushirikiana na wizara ya elimu. |
|
| Mafanikio Makuu | |
Ujenzi na uanzishaji wa maabara kubwa ya afya ya umma kisiwani pemba kwa mashirikiano na wizara ya afya na utibabu (2000); kuchangia katika kuwajengea uezo wafanyakazi kwa kuto ahduma za kiufundu udhamini wa masomsomo na mafunzo ya muda mfupi nchini na nje ya nchi ( 2000 – 2006); kujenga na kuweka samani kwa jingo la utawala ili kukuza kiwango chake kisayansi (2003 – 2005); kuendeleza elimu kwa kusaidia miradi ya maji mashuleni (2000 – 2003); kuchangia katika maendeleo ya sekta ya elimu kapitia wizara ya elimu namafunzo ya amali kwa kuto a vifaa vya ujenzi na fedha taslim( 2001);; |
|
| Maeneo Yanayofanyiwa Kazi | |
Pemba na Unguja |
|