Istiqama for Development
Utangulizi
Ufupisho Istiqama
Eneo Ilipo Ofisi Chake-chake pemba
Anuani / P.O. Box 84
Kisiwa Pemba
Nambari ya Simu 0777-420091
Faksi / Fax
Anuani ya Barua Pepe / Email
Mtandao
Wafanyakazi
Jina la Kiongozi Mkuu Salum Ali Suleiman
Jina la Mtu wa Kuwasiliana Nae Mohammed.S.Tiwany
Wadhifa wa Mtu wa Kuwasiliana Nae Katibu
Idadi ya Wafanyakazi Wanaolipwa
Idadi ya Wafanyakazi Wakujitolea 12
Usajili na Upatikanaji wa Fedha
Namba ya Usajili 310
Mwaka Iliosajiliwa 2004
Uwanachama wa Mitandao
Bajeti ya Mwaka TZS 15,000,000.00
Njia Kuu ya Kupata Fedha Michango na ada za wanachama, ruzuku kutoka kwa washiriki wa maendeleo wa kimatifa
Kazi
Walengwa Watoto; Wazee; Familia; Yatima; Walemavu; Waathirika wa Ukimwi; Watu wa Vijijini; Wajane; Wanawake; Vijana;
Sekta Unazozifanyia Kazi Utetezi; Elimu: Msingi; Elimu: Mafunzo ya Awali kwa Watoto; Mazingira: Utetezi wa Sera; Mazingira: Kiujumla; Afya: Kiujumla; Afya: Ukimwi; Afya: Usafi na Malaria; Afya: Wajawazito, Mama na Mtoto; Afya: Afya ya Uzazi; Ushawishi; Uangalizi wa Mali Asili; Dini; Maendeleo Vijijini; Maswala ya Dawa za Kulevya; Mafunzo ya Ufundi;
Aina ya Kazi

1. Ukusanyaji na uenezaji wa habari; kuwatafutia wanajumuiya nafasi za masomo, ajira na mitaji ya biashara; kufanya kazi za daawa

Eneo la Utendaji Taifa
Mwelekeo Mjini, Vijijini
Dira / Vision Statement

Kuwa na chombo cha kimaendeleo cha maibadhi kinachotegemewa na kuheshimika katika jamii ambacho kitaleta umoja na mashirikiano kati ya waislamu wa madhehebu mbalimbali na maendeleo kwa wazanzibar wote kwa ujumla.

Dhamira / Mission Statement

1. Kuwaendeleza waislamu wa madhehebu ya kiibadhi hapa Zanzibar kielimu, kiafya, kiuchumi n.k; kuchangia maendeleo kwa jamii kwa ujumla Zanzibar na Tanzania.

Malengo Makuu ya ASASI / Kikundi

1. kutoa elimu na mafunzo ya kiislam; kupambana na ukimwi, umaskini na dawa za Kulevya; kushughulikia masuala ya watoto yatima, walemavu, , vijana, wanawake, jinsia na ushauri nasaha; utafiti na utetezi

Mafanikio Makuu

2006-kampeni dhidi ya malaria; 2005/2006-kampeni dhidi ya UKIMWI; 2004/5/06-kusaidia yatima na, walemavu; 2003/4/05-mradi tandauwa, kuyuni-kusini pemba; 2003/4/05-visima vya kiuykaskazini pemba;;

Maeneo Yanayofanyiwa Kazi


Saidia Kusahihisha Au Kukamilisha Takwimu | Nyuma