Istiqaama Muslim Community of Tanzania
Utangulizi
Ufupisho IMCOT
Eneo Ilipo Ofisi Mlandege
Anuani / P.O. Box 3976
Kisiwa Unguja
Nambari ya Simu 022-30694
Faksi / Fax 024-223-5685
Anuani ya Barua Pepe / Email
Mtandao
Wafanyakazi
Jina la Kiongozi Mkuu Sultan Khamis Mbarouk
Jina la Mtu wa Kuwasiliana Nae Zamil Ali Muhsin
Wadhifa wa Mtu wa Kuwasiliana Nae Katibu
Idadi ya Wafanyakazi Wanaolipwa
Idadi ya Wafanyakazi Wakujitolea 6
Usajili na Upatikanaji wa Fedha
Namba ya Usajili 7
Mwaka Iliosajiliwa 1996
Uwanachama wa Mitandao ANGOZA
Bajeti ya Mwaka
Njia Kuu ya Kupata Fedha Michango ya wahisani
Kazi
Walengwa Watoto; Wazee; Vijana;
Sekta Unazozifanyia Kazi Elimu: Msingi; Elimu: Mafunzo ya Awali kwa Watoto; Afya: Kiujumla; Dini;
Aina ya Kazi

Eneo la Utendaji Taifa
Mwelekeo Mjini, Vijijini
Dira / Vision Statement

Ni kuiandaa jamii ili kuwafanya waislamu wawe thabiti na madhubuti kimatendo kimaadili, na kialhaki, mafanikio yake yatafanya jamii kuwa na raia wema waliotakasika (waliosalimika) na maovu

Dhamira / Mission Statement

Ni taasisi inayochangia maendeleo ya dini ya kiislamu katika visiwa vya unguja na pemba, na baadhi ya mikoa ya tanzania bara kwa kuimarisha huduma za elimu afya, miskiti na kwa kutoa misaada mbali mbali ya kijamii

Malengo Makuu ya ASASI / Kikundi

Ni kuanzisha taasisi za kieimu, misikiti, vyuo na taasisi za afya; Kushirikiana na jamii katika kutatua makuu ya jamii; Kama uchimbaji wa visima, kuchangia gharama za matibabu ya ndani na nje ya zanzibar.

Mafanikio Makuu

Hospitali ya Al rahma; Skuli ya maandalizi na msingi ya Istiqaama; Madrassa za quran na kiarabu; Ujenzi wa misikiti; Uchimbaji wa visima;

Maeneo Yanayofanyiwa Kazi


Saidia Kusahihisha Au Kukamilisha Takwimu | Nyuma