| Jozani Environmental Conservation Association | |
|---|---|
| Utangulizi | |
| Ufupisho | JECA |
| Eneo Ilipo Ofisi | Jozani |
| Anuani / P.O. Box | 2576 |
| Kisiwa | Unguja |
| Nambari ya Simu | 0777-851871 |
| Faksi / Fax | |
| Anuani ya Barua Pepe / Email | |
| Mtandao | |
| Wafanyakazi | |
| Jina la Kiongozi Mkuu | Ali Juma Ali |
| Jina la Mtu wa Kuwasiliana Nae | Awesu Shaaban Ramadhani |
| Wadhifa wa Mtu wa Kuwasiliana Nae | Msaidizi Katibu |
| Idadi ya Wafanyakazi Wanaolipwa | |
| Idadi ya Wafanyakazi Wakujitolea | 6 |
| Usajili na Upatikanaji wa Fedha | |
| Namba ya Usajili | 95 |
| Mwaka Iliosajiliwa | 1999 |
| Uwanachama wa Mitandao | ANGOZA; MTAMAZA |
| Bajeti ya Mwaka | TZS 54,257,460.00 |
| Njia Kuu ya Kupata Fedha | Ada za mwaka; Michango na misaada ya kitaifa na kimataifa |
| Kazi | |
| Walengwa | Watu wa Vijijini; |
| Sekta Unazozifanyia Kazi | Utetezi; Kilimo na Mifugo; Mazingira: Utetezi wa Sera; Mazingira: Utunzaji wa Mazingira; Mazingira: Kiujumla; Mazingira: Taarifa, Elimu na Uelewa; Maendeleo Vijijini; |
| Aina ya Kazi | Kuelimisha ufahamu wa kuhifadhi mazingira na matumizi bora ya mali asili; Kuboresha hali ya maisha ya jamii (kupunguza umaskini kusaidia kuibua miradi ya maendeleo vijijini |
| Eneo la Utendaji | Mkoa |
| Mwelekeo | Vijijini |
| Dira / Vision Statement | |
Kuwahudumia na kuwawezesha wanajamii wa jozani na Ghuba ya Chwaka kusimamia mali asili zao kwa nia ya kujiletea maendeleo ambayo yanahifadhi mazingira |
|
| Dhamira / Mission Statement | |
Kujenga ushirikiano na taasisi nyingine ambazo zitasaidia jumuiya kufikia malengo; Kujifunza na kusaidiana ili kuweza kupata ujuzi na kufikia malengo. |
|
| Malengo Makuu ya ASASI / Kikundi | |
Kulinda, kuendeleza na kuhifadhi mali asili zinazopatikana katika eneo la jozani na ghuba ya Chwaka; Kusaidia kuboresha maisha ya jamii kwa kuanzisha vyanzo mbadala kwa kutoa mafunzo na ushauri vya mapato visivyo haribu mazingira; Kutoa maelekezo ya uundaji wa vikundi. |
|
| Mafanikio Makuu | |
2006-07 Kuweka solar power kwa skuli za Cheju, ukongoroni, charawe vilevile hosiputali za charawe na ukongoroni; 2006-07 Kutoa mafunzo ya sera na sheria za misitu; Kutoa mafunzo ya usimamizi ya mikataba ya uhifadhi wa vijijini; 2006-07 Kutoa mafunzo kwa viongozi wa vikundi na kamati za uhifadhi vijijini; 2006-07 Kusaidia miradi ya maendeleo vijijini; 2006-07; Ziara za kimafunzo kwa wanavikundi ndani na nje ya Zanzibar {Tanzania bara}; |
|
| Maeneo Yanayofanyiwa Kazi | |