Africare Tanzania
Utangulizi
Ufupisho Africare (T)
Eneo Ilipo Ofisi House No. 2A.91, Mpendae Region
Anuani / P.O. Box 63187 Dar Es Salaam
Kisiwa Unguja
Nambari ya Simu 024-2231611
Faksi / Fax 024-2231611
Anuani ya Barua Pepe / Email
Mtandao http://www.africare.org
Wafanyakazi
Jina la Kiongozi Mkuu Phedson Mwambete
Jina la Mtu wa Kuwasiliana Nae Agnes Msuya
Wadhifa wa Mtu wa Kuwasiliana Nae Kiongozi
Idadi ya Wafanyakazi Wanaolipwa 71
Idadi ya Wafanyakazi Wakujitolea
Usajili na Upatikanaji wa Fedha
Namba ya Usajili 27
Mwaka Iliosajiliwa 1996
Uwanachama wa Mitandao
Bajeti ya Mwaka USD 350,000.00
Njia Kuu ya Kupata Fedha ruzuku
Kazi
Walengwa Watoto; Yatima; Waathirika wa Ukimwi;
Sekta Unazozifanyia Kazi Mazingira: Utunzaji wa Mazingira; Mazingira: Kiujumla; Afya: Ukimwi; Afya: Usafi na Malaria; Uangalizi wa Mali Asili;
Aina ya Kazi

Utetezi wa sera bora za afya na usimamizi wa mali asili

Eneo la Utendaji Kimataifa
Mwelekeo Mjini, Vijijini
Dira / Vision Statement

Tanzania kuwa nchi ya amani yenye afya na uchumi endelevu

Dhamira / Mission Statement

Kushiriki ipasavyo kuleta katika kuondoa umasikini na ufukara

Malengo Makuu ya ASASI / Kikundi

Kuwajibika kwa maeneo yaliyopewa kipaombele Tanzania; kufanya kazi kwa ushirikiano na serikali n ajumuiya za hiyari kutambua nakuheshimu matakwa ya wananchi, kukuza shughuli zinazoleta tija, kufanya kazi kwa uaminifu na uwazi

Mafanikio Makuu

Kujishughulisha na mradi wa wakimbizi kasuke ( 2005); kukubidhi mradi wa uhifadhi wa ugala wa mafanikio(Inaendelea); kupata mafanikio katika mradi wa COPE Dodoma (Unaendelea);

Maeneo Yanayofanyiwa Kazi


Saidia Kusahihisha Au Kukamilisha Takwimu | Nyuma