| Hifadhi ya Mazingira Ufufuma/Jendele | |
|---|---|
| Utangulizi | |
| Ufupisho | HIMAUJE |
| Eneo Ilipo Ofisi | Ufufuma Wilaya Ya Kati Unguja |
| Anuani / P.O. Box | 1861 |
| Kisiwa | Unguja |
| Nambari ya Simu | 0777-491069/0777-423255 |
| Faksi / Fax | |
| Anuani ya Barua Pepe / Email | ; ; |
| Mtandao | |
| Wafanyakazi | |
| Jina la Kiongozi Mkuu | Mustafa Mafame Ali |
| Jina la Mtu wa Kuwasiliana Nae | Mustafa Makame Ali |
| Wadhifa wa Mtu wa Kuwasiliana Nae | Mwenyekiti |
| Idadi ya Wafanyakazi Wanaolipwa | |
| Idadi ya Wafanyakazi Wakujitolea | 110 |
| Usajili na Upatikanaji wa Fedha | |
| Namba ya Usajili | 127 |
| Mwaka Iliosajiliwa | 2001 |
| Uwanachama wa Mitandao | |
| Bajeti ya Mwaka | |
| Njia Kuu ya Kupata Fedha | Fedha tunapata kutoka katika michango ya wanachama pamoja na wahisani na miradi mbalimbali inayoendeshwa na{HIMAUJE}. |
| Kazi | |
| Walengwa | |
| Sekta Unazozifanyia Kazi | Mazingira: Utunzaji wa Mazingira; |
| Aina ya Kazi | Himauje inaendeleza utunzaji wa misitu ya saili pamoja na mali za asili zote zinazo patikana katika misitu hiyo{Zanzibar} |
| Eneo la Utendaji | Taifa |
| Mwelekeo | Mjini, Vijijini |
| Dira / Vision Statement | |
Ni kuona Zanzibar kurejea katika haiba yake ya kuwa visiwa vya kijani kutokana na kuimarika kwa misitu ya asili |
|
| Dhamira / Mission Statement | |
Kuhakikisha kwamba mali za asili zinaendeleakutunzwa kwa faida yetu na vizazi vijavyo |
|
| Malengo Makuu ya ASASI / Kikundi | |
Lengo kuu ni kupunguza umaskini katika jamii zetu kwa kutumia mali asili kwa mpango endelevu |
|
| Mafanikio Makuu | |
11/09/2007 Wanajamii wameweza kuelewa umuhimu wa mali za asili na kuonesha mfano kwa kuuacha msitu wa ufufuma ukipendeza na kuvutia ukiwa wa pekee pembeni mwa barabara ya chwaka; Give education to villagers to protect and preserve a species of monkey; Preserve natural ecosystem, old growth trees; Awareness-raising re: importance of natural resources |
|
| Maeneo Yanayofanyiwa Kazi | |
Dunga, Jendele, Chwaka, Marumbi, Cheju, Ndijani, Muungoni pamoja na mjini magharibi. |
|