Hands Across Borders Society
Utangulizi
Ufupisho HABS
Eneo Ilipo Ofisi Jambiani
Anuani / P.O. Box 210
Kisiwa Unguja
Nambari ya Simu 0777-470408; 0786-231988
Faksi / Fax
Anuani ya Barua Pepe / Email
Mtandao http://www.handsacrossborderssociety.org
Wafanyakazi
Jina la Kiongozi Mkuu Alastair Pirie; Patricia Elias
Jina la Mtu wa Kuwasiliana Nae Patricia Elias
Wadhifa wa Mtu wa Kuwasiliana Nae Mwenyekiti
Idadi ya Wafanyakazi Wanaolipwa
Idadi ya Wafanyakazi Wakujitolea 12
Usajili na Upatikanaji wa Fedha
Namba ya Usajili 143
Mwaka Iliosajiliwa 2001
Uwanachama wa Mitandao
Bajeti ya Mwaka
Njia Kuu ya Kupata Fedha E.U; CIDA; Wilde Ganzen; Rotary; ruzuku za faragha; mchango binafsi kutoka kwa mkurugenzi wa HABS
Kazi
Walengwa Watoto; Wazee; Familia; Wakulima; Wavuvi; Watoto Wachanga; Yatima; Walemavu; Watu wa Vijijini; Wajane; Wanawake; Vijana;
Sekta Unazozifanyia Kazi Utetezi; Mawasiliano na Habari; Usuluhishi; Ushirika; Elimu: Msingi; Elimu: Sekondari; Elimu: Mafunzo ya Elimu ya Juu; Mazingira: Kiujumla; Mazingira: Taarifa, Elimu na Uelewa; Afya: Kiujumla; Afya: Usafi na Malaria; Afya: Wajawazito, Mama na Mtoto; Afya: Afya ya Uzazi; Biashara Ndogo Ndogo; Uangalizi wa Mali Asili; Mafunzo ya Kiutaalam; Maendeleo Vijijini; Utalii; Mafunzo ya Ufundi;
Aina ya Kazi

Kuongoiza kituo cha afya; kuendesha taasisi ya mafunmzo ya utalii, mafunzo ya kompyuta, mafunzo kwa vizi wa mafunzo na utetezi wa masuala ya mazingira;

Eneo la Utendaji Kisiwa
Mwelekeo Vijijini
Dira / Vision Statement

Kutoana kuendeleza elimu na afya katika programme, mafunzo na huduma katika nyanja za huduma na mazingira

Dhamira / Mission Statement

Kusaidia kuondoaumasikini kuptia juhuhudi CED hususan juhudi mfumo wa mazingira, afya na elimu katikanchi zinazoendelea

Malengo Makuu ya ASASI / Kikundi

Kuhakikisha upatikanaji wa elimu juhudi na afya ya mazingira ya watu duniani kwa nchi zinazoendelea;

Mafanikio Makuu

tumejenga zahanati watu 17000 wanatibiwea (2002); mpango wa viziwi na watu wenye matatizo ya kusikia, Mradi wa EU. ERP kwa wtu wa vijijini (2003- 2007); kuweka kambi ya matibabu ya macho ambapo wagonjwa 4750 walitibiwa/ kupatiwa miwani(2006); miradi rafiki umasikini, yanayohusu ukarimu, mazingira na SME (2007) kujenga taasisi ya mafunzi juu ya utalii; mafunzo yanayotolewa bure ya vyeti na mafunzo ya Diploma (2007);

Maeneo Yanayofanyiwa Kazi


Saidia Kusahihisha Au Kukamilisha Takwimu | Nyuma