| Fysabilillahi Tabligh Markaz Zanzibar | |
|---|---|
| Utangulizi | |
| Ufupisho | F.T.M.Z |
| Eneo Ilipo Ofisi | Fuoni migombani |
| Anuani / P.O. Box | 4733 |
| Kisiwa | Unguja |
| Nambari ya Simu | 07773-189989/0777427053 |
| Faksi / Fax | |
| Anuani ya Barua Pepe / Email | |
| Mtandao | |
| Wafanyakazi | |
| Jina la Kiongozi Mkuu | Ali Khamis Mwinyi |
| Jina la Mtu wa Kuwasiliana Nae | Kassim Saleh Abdullah |
| Wadhifa wa Mtu wa Kuwasiliana Nae | Mkurugenzi Uchumi na Fedha |
| Idadi ya Wafanyakazi Wanaolipwa | 21 |
| Idadi ya Wafanyakazi Wakujitolea | 105 |
| Usajili na Upatikanaji wa Fedha | |
| Namba ya Usajili | 83 |
| Mwaka Iliosajiliwa | 1998 |
| Uwanachama wa Mitandao | |
| Bajeti ya Mwaka | |
| Njia Kuu ya Kupata Fedha | Ni kujitolea kwa wanajumuiya kwa 80% na 20% ni misaada ya jamii. |
| Kazi | |
| Walengwa | Yatima; Waathirika wa Ukimwi; Wanawake; Vijana; |
| Sekta Unazozifanyia Kazi | Elimu: Msingi; Elimu: Mafunzo ya Awali kwa Watoto; Elimu: Sekondari; Afya: Kiujumla; Afya: Ukimwi; Dini; |
| Aina ya Kazi | Elimu ya msingi kwa masomo yote, mafunzo ya dini ya awali kwa watoto, kituo cha afya kinatoa huduma kwa jamii, kituo cha ushauri nasaha na upimaji wa virusi kwa hiari, kuwalingania watu kutoka kwenye kiza na kuelekea kwenye nuru. |
| Eneo la Utendaji | Taifa |
| Mwelekeo | Mjini, Vijijini |
| Dira / Vision Statement | |
Ni kufikisha jamii pahala ambapo wanamtambua muumba wao ili wawe salama duniani na akhera.Vilevile kuipelekea jamii pale ambapo itakuwa salama yenye amani utulivu. |
|
| Dhamira / Mission Statement | |
Ni kuwa na jamii yenye kumkubali Mw/Mungu, yenye usikivu, yenye amani nas utulivu, iliyo salama kiafya, iliyo katika mazingira bora. |
|
| Malengo Makuu ya ASASI / Kikundi | |
Kuwahimiza waisilamu kuwa karibu sana na Mw/Mungu, kuinua na kuendesha utamaduni wa kiislamu kuhusu elimu mbalimbali za dini na dunia, malezi bora, afya na ustawi wa jamii ya kiislamu na kusimamia na kuendeleza IJITIMAI na ITIKAFU sehemu mbalimbali nchini. |
|
| Mafanikio Makuu | |
Mwezi wa 8 kila mwaka kuweza kuwakusanya waumini{jamii} kutoka sehemu mbalimbali; 2004 ukamilishaji wa dispensary na kuanza kufanya kazi; 2000 ukamilishaji wa shule na kuanza kusomesha wanafunzi; 2004 ujenzi wa nyumba ya mayatima; 2003 uundaji wa kamati ya ukimwi; 2004 ukamilishaji wa dispensary na kuanza kufanya kazi; 2000 ukamilishaji wa shule na kuanza kusomesha wanafunzi; 2004 ujenzi wa nyumba ya mayatima; 2003 uundaji wa kamati ya ukimwi; |
|
| Maeneo Yanayofanyiwa Kazi | |
0 |
|