| Dole Elementary Sports Institute Zanzibar | |
|---|---|
| Utangulizi | |
| Ufupisho | DESI |
| Eneo Ilipo Ofisi | Dole |
| Anuani / P.O. Box | 2798 |
| Kisiwa | Unguja |
| Nambari ya Simu | 077-333-1825; 077-317-2620 |
| Faksi / Fax | |
| Anuani ya Barua Pepe / Email | |
| Mtandao | |
| Wafanyakazi | |
| Jina la Kiongozi Mkuu | Mussa Hassan Mussa |
| Jina la Mtu wa Kuwasiliana Nae | Mussa Jaribu |
| Wadhifa wa Mtu wa Kuwasiliana Nae | Mkurugenzi Mtendaji |
| Idadi ya Wafanyakazi Wanaolipwa | |
| Idadi ya Wafanyakazi Wakujitolea | 4 |
| Usajili na Upatikanaji wa Fedha | |
| Namba ya Usajili | 398 |
| Mwaka Iliosajiliwa | 2006 |
| Uwanachama wa Mitandao | |
| Bajeti ya Mwaka | |
| Njia Kuu ya Kupata Fedha | Michango ya wanachama; Misaada ya wahisani; Kukodisha au kufanyia biashara rasilimali za taasisi; kununua hati za hisa za serikali au za uma; Kufungua hesabu ya akiba ya andi maalum benki na vitega uchumi vingine vitakavyokubalika |
| Kazi | |
| Walengwa | Watoto; Vijana; Wengineo: Wachezaji |
| Sekta Unazozifanyia Kazi | Afya: Ukimwi; Maswala ya Dawa za Kulevya; Nyenginezo: Spoti, Spoti, Spoti |
| Aina ya Kazi | Kutoa mafunzo ya msingi ya michezo kama mpira wa miguu kuanzia umriwa miaka 8 hadi 20; Kutoa elimu ya ukimwi kwa ujumlahasa kwa vikundi vya wanamichezo; Kutoa elimu ya athari za madawa ya Kulevya. |
| Eneo la Utendaji | Taifa |
| Mwelekeo | Mjini, Vijijini |
| Dira / Vision Statement | |
| Dhamira / Mission Statement | |
Kujenga chuo cha michezo kitakachotoa mafunzo ya msingi ya michazo kuanzia na watoto wadogo wa miaka 8-20 kwa lengola kunyanyua kiwango cha michezo nchini, nakuwezesha vijana wetu kupata ajira sambamba na kuondosha umaskini kwa wanamichezo wa Zanzibar. |
|
| Malengo Makuu ya ASASI / Kikundi | |
Kuboresha maisha ya wanamichezo na kufanya michezo ni kazi kinyume na ilivyo sasa, Kulitangaza Taifa letu katika ulimwengu wa michezohivyo hata taifa kijipatia mapato kutokana na kodi mbalimbali kupitia michezo, nakujenga vyou sehemu tofauti katoka nchi nzima. |
|
| Mafanikio Makuu | |
Kutokana na kuwepo kwa taasisi yetu hapa Dole imepelekea Tanzania Olympic Committee (T.O.C) chini ya udhamini wa International Olympiv committee (I.T.C.) kujenga kituo cha kimataifa cha michezo ambacho ni maalum kwa ajili ya taasisi yetu, pia tumeshapata hati ya ardhi ya ujenzi wa kijiji cha michezo; |
|
| Maeneo Yanayofanyiwa Kazi | |
Wilay aya magharibi, Unguja-Dole pamoja na vijiji vya jirani; mwera; maili sita; Kizimbani |
|