District Organisation for AIDS Control and Orphans' Rights
Utangulizi
Ufupisho DOACO
Eneo Ilipo Ofisi Mapofu Wingwi
Anuani / P.O. Box 235
Kisiwa Pemba
Nambari ya Simu 07731-153240; 0747-453140;
Faksi / Fax
Anuani ya Barua Pepe / Email
Mtandao
Wafanyakazi
Jina la Kiongozi Mkuu Hamad Othman Khamis
Jina la Mtu wa Kuwasiliana Nae Hamad Mbwana Shihi
Wadhifa wa Mtu wa Kuwasiliana Nae Katibu
Idadi ya Wafanyakazi Wanaolipwa 0
Idadi ya Wafanyakazi Wakujitolea 60
Usajili na Upatikanaji wa Fedha
Namba ya Usajili 414
Mwaka Iliosajiliwa 2006
Uwanachama wa Mitandao ZAC
Bajeti ya Mwaka TZS 13,026,000.00
Njia Kuu ya Kupata Fedha Michango ya wana chama; Misaada
Kazi
Walengwa Yatima; Waathirika wa Ukimwi;
Sekta Unazozifanyia Kazi Afya: Ukimwi; Haki za Binadamu;
Aina ya Kazi

Eneo la Utendaji Wilaya
Mwelekeo Mjini, Vijijini
Dira / Vision Statement

Kuona kuwa hakuna maambukizo mapya ya ukimwi w/m’weni kuhakikisha kuwa mayatima wote wanapata haki zao za msingi

Dhamira / Mission Statement

Kupungua kwa maambukizo ya virusi vya ukimwi, na kwa wale ambao wameathirika kuishi kwa matumaini.kupatiwa haki zao za msingi watoto mayatima

Malengo Makuu ya ASASI / Kikundi

Kuwaelimisha wanajamii juu ya madhara yatokanayo na ukimwi na jinsi ya kujikinga na maambukizo pamoja na kutetea haki za msingi za mayatima.

Mafanikio Makuu

Juni 2005 kuanzishwa kwa hii jumuia ya kupambana ukimwi ndani ya w/m’wen; 2005-2007        kupata mashirikiano makubwa kutoka kwa viongozi wa wilaya (dacon) shella, shacom, zac katika kutoa elimu ya ukimwi; 2006-2007 kuwatambua mayatima walioomo ndani ya wilaya ya m’weni; 7-9/7/2007 wanajumuia kupata mafunzo (semina) ya kujengewa uwezo; Awareness-raising on HIV/AIDS

Maeneo Yanayofanyiwa Kazi


Saidia Kusahihisha Au Kukamilisha Takwimu | Nyuma