| Confederation of Informal Sector Organizations | |
|---|---|
| Utangulizi | |
| Ufupisho | CISO |
| Eneo Ilipo Ofisi | Malindi, Afisi Ya Mkuu wa Wilaya Mjini |
| Anuani / P.O. Box | 81 |
| Kisiwa | Unguja |
| Nambari ya Simu | 0777-471911; 0777-426882 |
| Faksi / Fax | |
| Anuani ya Barua Pepe / Email | |
| Mtandao | |
| Wafanyakazi | |
| Jina la Kiongozi Mkuu | Saidi Alakii Hassan |
| Jina la Mtu wa Kuwasiliana Nae | Mohamed Omar Ramadhan |
| Wadhifa wa Mtu wa Kuwasiliana Nae | Katibu |
| Idadi ya Wafanyakazi Wanaolipwa | |
| Idadi ya Wafanyakazi Wakujitolea | 8 |
| Usajili na Upatikanaji wa Fedha | |
| Namba ya Usajili | 526 |
| Mwaka Iliosajiliwa | 2007 |
| Uwanachama wa Mitandao | East Africa Network |
| Bajeti ya Mwaka | |
| Njia Kuu ya Kupata Fedha | |
| Kazi | |
| Walengwa | Wanawake; Vijana; |
| Sekta Unazozifanyia Kazi | Biashara; Ushirika; Elimu: Utetezi wa Sera; Afya: Ukimwi; Mikopo Midogo Midogo; Biashara Ndogo Ndogo; Sayansi na Tekinolojia; Utalii; Mafunzo ya Ufundi; |
| Aina ya Kazi | |
| Eneo la Utendaji | Taifa |
| Mwelekeo | Mjini, Vijijini |
| Dira / Vision Statement | |
| Dhamira / Mission Statement | |
Dhamira kubwa ya Ciso ni kuboresha hali ya kiuchumi na kijamii ya wazalishaji wadogo wadogo kwa kutumia rasilimali zilizopo. |
|
| Malengo Makuu ya ASASI / Kikundi | |
Madhumuni makubwa ya jumuiya hii ni kuwezesha wazalishaji wadogo wadogo kupata fursa ya kutangaza bidhaa zao kwa nchi wanachama wa jumuia ya Afrika Mashariki na Duniani kote |
|
| Mafanikio Makuu | |
;; |
|
| Maeneo Yanayofanyiwa Kazi | |
Wilaya ya mjini- Shehia ya Kwawazee, Nyerere, Magomeni; ZFA wilaya zote; Pemba na Unguja. |
|