| Chanjaani Development Organization | |
|---|---|
| Utangulizi | |
| Ufupisho | CHADO |
| Eneo Ilipo Ofisi | Chake/chanjani |
| Anuani / P.O. Box | 392 |
| Kisiwa | Pemba |
| Nambari ya Simu | 0773-212539 |
| Faksi / Fax | |
| Anuani ya Barua Pepe / Email | |
| Mtandao | |
| Wafanyakazi | |
| Jina la Kiongozi Mkuu | Yusuph Abdula Ramadhan |
| Jina la Mtu wa Kuwasiliana Nae | Abdula Suleiman Nassor |
| Wadhifa wa Mtu wa Kuwasiliana Nae | Katibu |
| Idadi ya Wafanyakazi Wanaolipwa | |
| Idadi ya Wafanyakazi Wakujitolea | 25 |
| Usajili na Upatikanaji wa Fedha | |
| Namba ya Usajili | 292 |
| Mwaka Iliosajiliwa | 2004 |
| Uwanachama wa Mitandao | |
| Bajeti ya Mwaka | TZS 5,000,000.00 |
| Njia Kuu ya Kupata Fedha | 1. Michango ya wanachama; Ada za wanachama |
| Kazi | |
| Walengwa | Watoto; Wazee; Familia; Wakulima; Watoto Wachanga; Yatima; Walemavu; Waathirika wa Ukimwi; Watu wa Vijijini; Wajane; Wanawake; Vijana; Wengineo: Wanamichezo, Wanaitikadi, Wanadini |
| Sekta Unazozifanyia Kazi | Kilimo na Mifugo; Biashara; Mawasiliano na Habari; Ushirika; Udumishaji Mila; Elimu: Msingi; Elimu: Mafunzo ya Awali kwa Watoto; Elimu: Sekondari; Elimu: Mafunzo ya Elimu ya Juu; Mazingira: Utunzaji wa Mazingira; Mazingira: Kiujumla; Mazingira: Taarifa, Elimu na Uelewa; Afya: Ukimwi; Afya: Usafi na Malaria; Afya: Wajawazito, Mama na Mtoto; Afya: Afya ya Uzazi; Haki za Binadamu; Haki za Wafanyakazi; Ushawishi; Mikopo Midogo Midogo; Biashara Ndogo Ndogo; Uangalizi wa Mali Asili; Dini; Maendeleo Vijijini; Maswala ya Dawa za Kulevya; |
| Aina ya Kazi | 1. Usambazaji wa maji safi; Elimu-chkechea/msingi; Afya-chanjo; kilimo |
| Eneo la Utendaji | Shehia |
| Mwelekeo | Mjini |
| Dira / Vision Statement | |
Kuleta maendeleo ya nyanja zote kwa wanashehia wa chanjani |
|
| Dhamira / Mission Statement | |
Wanashehia kutumia rasilimali zao/nyenzo katika shehia yao kujiletea maendeleo |
|
| Malengo Makuu ya ASASI / Kikundi | |
1. Matumizi bora ya nguvu na mitaji iliyomo ndani ya shehia; Mikakati ya makusudi ya matumizi ya rasilimali kwa kuondoa umasikini katika shehia; Kuondosha matatizo ya fedha na kijamii ndani ya shehia; Kuinua kwango cha utambuzi wa masuala ya kiafy; Mahusiano na mashirika mbali mbali |
|
| Mafanikio Makuu | |
5-7-04 usajili halali wa jumuiya ulipatikana; 2005 mradi wa maji(mtaro mpya); 01-02-07 mradi wa ujenzi wa shule ya msingi; |
|
| Maeneo Yanayofanyiwa Kazi | |